slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Friday, February 24, 2017

VIFAA VYA OFISI VYA KUNDI LA KWANZA LA WATUMISHI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII WANAOHAMIA DODOMA VYASAFIRISHWA

 Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe akiwa na baadhi ya watumishi wa wizara hiyo wakiaga msafara wa magari yaliyobeba vifaa vya ofisi vya kundi la kwanza la watumishi wa wizara hiyo wanaohamia Makao Makuu ya Nchi Mjini Dodoma nje ya jengo kuu la Wizara hiyo juzi.
Moja ya gari la jeshi lililokuwa limebeba vifaa vya ofisi vya watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii likiondoka rasmi makao makuu ya wizara hiyo juzi kuelekea mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment