slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Monday, April 30, 2018

KUNDI LA WATALII WALIOINGIA NCHINI KWA WAKATI MMOJA WAONDOKA:

Kundi la watalii 310 waliowasili nchini  kwa wakati mmoja wakitokea nchini Australia Aprili 28 mwaka huu, limekamilisha ziara yake katika hifadhi mbalimbali za Taifa nchini ikiwemo  Hifadhi ya Serengeti na Tarangire, huku ujio huu ukitajwa kuendelea kufungua fursa ya utalii wa Tanzania.

Watalii hao waliingia  nchini kupitia Kiwanja cha Kimataifa cha Ndege cha Kilimanjaro (KIA) kwa kutumia ndege kubwa aina ya Boing 747 inayomilikiwa na Shirika la Ndege la Qantas la nchini Austraria.

No comments:

Post a Comment