slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Sunday, December 27, 2015

PROF. JUMANNE MAGHEMBE ATEULIWA KUWA WAZIRI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, KUAPISHWA LEO IKULU

Mhe. Prof Jumanne Maghembe (pichani) ameteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli kujaza nafasi ya uteuzi wa nafasi ya Waziri wa Wizara ya Maliasi na Utalii aliyokuwa ameibakiza pamoja na Wizara zingine chache wakati akitangaza baraza lake la mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya uongozi wake. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Ikulu tarehe 23 Desemba 2015 Mawaziri hao wateule wataapishwa leo Jumatatu Desemba 28, 2015 Ikulu, Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment