slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Wednesday, December 30, 2015

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MHE. PROF. JUMANNE MAGHEMBE AONANA NA BODI YA TAWA LEO

Picha ya pamoja kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Prof. Jumanne Maghembe (wa tatu kulia mstari wa mbele), Naibu Waziri Mhe. Eng. Ramo Makani (wa tatu kushoto mstari wa mbele), Katibu Mkuu Dkt. Adelhelm Meru (wa pili kulia mstari wa mbele) na Mwenyekiti pamoja na Wajumbe wa bodi ya Mamlaka ya Wanyamapori Tanzania (TAWA) mara baada ya mkutano wa pamoja uliofanyika leo tarehe 30 Desemba 2015 Makao Makuu ya Wizara hiyo Mpingo House Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta ya Wanyamapori na Utalii kwa ujumla. 

No comments:

Post a Comment