slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Monday, February 12, 2018

MAKAMU WA RAIS AZINDUA MRADI WA KUSIMAMIA MALIASILI NA KUENDELEZA UTALII KANDA YA KUSINI (REGROW)

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kabrasha lenye mkataba na andiko la mradi wa Kusimamia Maliasili na Kuendeleza Utalii Kanda ya Kusini (REGROW) kuashiria  uzinduzi wa mradi huo katika eneo la Kihesa Kilolo mkoani Iringa leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangalla kabrasha lenye Andiko la mradi wa REGROW na Mikataba ya Fedha na utekelezaji wa mradi mara baada ya kuuzindua mradi huo katika eneo la Kihesa Kilolo mkoani Iringa.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akiteta jambo na Muwakilishi wa Benki ya Dunia nchini, Bi. Bella Bird muda mfupi kabla ya kuanza kwa sherehe za uzinduzi wa mradi huo. Kulia ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Japhet Hasunga.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo katika banda la Wizara ya Maliasili muda mfupi kabla ya uzinduzi wa mradi huo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo ya mpango wa uwekezaji katika miundo mbinu ya mradi wa kuendeleza utalii ukanda wa kusini mwa Tanzania kutoka kwa Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangalla wakati alipotembelea mabanda ya maonyesho kabla ya kuzindua mradi wa REGROW.Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi huo.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dk. Hamisi Kigwangalla akiteta jambo na Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Baadhi ya washiriki katika uzinduzi huo.
Baadhi ya washiriki katika uzinduzi huo.

HOTUBA YA MAKAMU WA RAIS, MHE. SAMIA SULUHU HASSAN  

HOTUBA YA WAZIRI WA MALIASILI, DK. HAMISI KIGWANGALLA 

HOTUBA YA KATIBU MKUU WIZARA YA MALIASILI, MAJ. GEN. GAUDENCE MILANZI 

No comments:

Post a Comment