slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Thursday, October 11, 2018

NAIBU WAZIRI, MHE.JAPHET HASUNGA AFANYA ZIARA CHUO CHA TAIFA CHA UTALII

Add caption1.       Naibu Waziri wa  Maliasili na Utalii, Mhe. Japhet Hasunga (katikati) akiwa  na Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii, Dkt. Shogo Sedoyeka  wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Chuo mara katika Kampasi ya Bustanini   jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa  Maliasili na Utalii, Mhe. Japhet Hasunga(wa pili kushoto)  akizungumza na watumishi wa chuo hicho katika Kampasi ya Bustanini , jijini Dar es Salaam. Wa pili kulia ni Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii, Dkt. Shogo Sedoyeka



 Naibu Waziri wa  Maliasili na Utalii, Mhe. Japhet Hasunga(wa pili kushoto)  akizungumza na watumishi wa chuo hicho katika Kampasi ya Bustanini , jijini Dar es Salaam. Wa pili kulia ni Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii, Dkt. Shogo Sedoyeka


1Naibu Waziri wa  Maliasili na Utalii, Mhe. Japhet Hasunga(kulia) akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii, Dkt. Shogo Sedoyeka(kushoto)  mara baada ya Naibu Waziri huyo kufanya ziara katika chuo ambapo alizungumza na watumishi wa chuo hicho katika Kampasi ya Temeke, jijini Dar es Salaam.



Naibu Waziri wa  Maliasili na Utalii, Mhe. Japhet Hasunga(kulia) akiwa ameongoza na  Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii, Dkt. Shogo Sedoyeka(kushoto)  mara baada ya Naibu Waziri huyo kufanya ziara katika chuo  hicho katika Kampasi ya Temeke, jijini Dar es Salaam.



 1.       Naibu Waziri wa  Maliasili na Utalii, Mhe. Japhet Hasunga(katikati) akipewa maelezo na  Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii, Dkt. Shogo Sedoyeka(kushoto) kuhusiana na vyumba vipya vya kulala wageni  vilianzishwa katika chuo hicho  mara baada ya Naibu Waziri huyo kufanya ziara katika chuo  hicho katika Kampasi ya Bustanini  jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa  Maliasili na Utalii, Mhe. Japhet Hasunga(katikati) akipewa maelezo na  Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii, Dkt. Shogo Sedoyeka(kushoto) kuhusiana na vyumba vipya vya kulala wageni  vilianzishwa katika chuo hicho  mara baada ya Naibu Waziri huyo kufanya ziara katika chuo  hicho katika Kampasi ya Bustanini  jijini Dar es Salaam.






No comments:

Post a Comment