slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Wednesday, January 6, 2016

KATIBU MKUU WIZARA YA MALIASILI NA UTALII MEJA JENERALI GAUDENCE MILANZI AKABIDHIWA OFISI RASMI NA ALIYEKUWA KATIBU DKT. ADELHELM MERU

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Meja Jenerali Gaudence Milanzi (kulia) akikabidhiwa taarifa ya makabidhiano ya ofisi tarehe 04 Januari 2016 na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Adelhelm Meru (kushoto) ambaye kwa sasa amehamishiwa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji.
Picha ya pamoja kati ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi (wa pili kulia), Katibu Mkuu aliyepita kabla yake, Dkt. Adelhelm Meru (wa pili kushoto) ambae kahamishiwa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji na Naibu Katibu Mkuu, Bi. Anjelina Madete (wa kwanza kulia) muda muda mfupi baada ya makabidhiano hayo. Wengine ni Bi Mariam Malunga (katikati) Katibu Muhtasi na Bi. Judith (wa kwanza kushoto) Msaidizi wa Ofisi.

No comments:

Post a Comment