slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Thursday, April 13, 2017

KIPINDI CHA 360 KURUSHWA MUBASHARA KUTOKA KATIKA HIFADHI ZA SERENGETI NA NGORONGORO

Watangazaji wa kipindi cha 360 kinachorushwa na Clouds Tv wamewasili mkoani Arusha jana kwa ajili ya ziara katika hifadhi za taifa za Serengeti na Ngorongoro kwa lengo la kutangaza utalii wa ndani. 

Kipindi hicho kinachoendelea kujizolea umaarufu cha 360 kinataraji kurushwa moja kwa moja kutoka katika hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro na Serengeti kikiongozwa na watangazaji wake Baby Kabaye, Sam Sasali, Hassan Ngoma na James Tupa tupa. 

Leo Ijumaa na Jumamosi kitarushwa LIVE kutokea hifadhi ya Ngorongoro na Jumatatu kutokea hifadhi ya Serengeti.

No comments:

Post a Comment