slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Friday, September 15, 2017

PROF. MAGHEMBE APOKEA CHETI CHA SHUKURANI KUTOKA SPORTPESA KWA KUTAMBUA MCHANGO WA WIZARA YAKE WA KUFANIKISHA UJIO WA TIMU YA EVERTON NCHINI TANZANIA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akimkaribisha Meneja Mahusiano wa Kampuni ya SportPesa Tanzania, Sabrina Msuya ofisini kwake mjini Dodoma jana ambapo alifika kukabidhi Cheti cha Shukurani kutoka kwa kampuni hiyo kwa Wizara yake kufanikisha ujio wa timu ya Everton nchini Tanzania mwezi Julai mwaka huu, 2017. Ameipongeza SportPesa kwa kufanikisha kuileta timu hiyo nchini na kuwaomba kuzileta timu nyingine kutoka nchini Uingereza kwa kuanzia na timu ya Arsenal ili kuutangaza zaidi utalii wa Tanzania nje ya nchi.
 Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akipokea Cheti cha Shukurani kutoka kwa Kampuni ya SportPesa Tanzania kwa wizara yake kufanikisha ujio wa timu ya Everton nchini Tanzania mwezi Julai mwaka huu, 2017, anaekabidhi cheti hicho ni Meneja Mahusiano wa Kampuni hiyo, Sabrina Msuya ofisini kwake mjini Dodoma jana. Ameipongeza SportPesa kwa kuileta timu hiyo nchini na kuiomba kuzileta timu nyingine kutoka nchini Uingereza kwa kuanzia na timu ya Arsenal ili kuutangaza zaidi utalii wa Tanzania nje ya nchi. 
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akizungumza na Meneja Mahusiano wa Kampuni ya SportPesa Tanzania, Sabrina Msuya ofisini kwake mjini Dodoma jana mara baada ya kupokea Cheti cha Shukurani kutoka kwa kampuni hiyo kwa Wizara yake kufanikisha ujio wa timu ya Everton nchini Tanzania mwezi Julai mwaka huu, 2017. Ameipongeza SportPesa kwa kuileta timu hiyo nchini na kuiomba kuzileta timu nyingine kutoka nchini Uingereza kwa kuanzia na timu ya Arsenal ili kuutangaza zaidi utalii wa Tanzania nje ya nchi. 
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akimsikiliza Meneja Mahusiano wa Kampuni ya SportPesa Tanzania, Sabrina Msuya ofisini kwake jana mjini Dodoma mara baada ya kupokea Cheti cha Shukurani kutoka kwa kampuni hiyo kwa Wizara yake kufanikisha ujio wa timu ya Everton nchini Tanzania mwezi Julai mwaka huu, 2017. Ameipongeza SportPesa kwa kuileta timu hiyo nchini na kuiomba kuzileta timu nyingine kutoka nchini Uingereza kwa kuanzia na timu ya Arsenal ili kuutangaza zaidi utalii wa Tanzania nje ya nchi. 
 Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe (wa pili kulia) akimuaga Meneja Mahusiano wa Kampuni ya SportPesa Tanzania, Sabrina Msuya ofisini kwake jana mjini Dodoma baada ya kupokea Cheti cha Shukurani kutoka kwa kampuni hiyo kwa Wizara yake kufanikisha ujio wa timu ya Everton nchini Tanzania mwezi Julai mwaka huu, 2017. Ameipongeza SportPesa kwa kufanikisha kuileta timu hiyo nchini na kuwaomba kuzileta timu nyingine kutoka nchini Uingereza kwa kuanzia na timu ya Arsenal ili kuutangaza zaidi utalii wa Tanzania nje ya nchi. Kulia aliyeshikilia cheti hicho ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Aloyce Nzuki.
PICHA NA HAMZA TEMBA - WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

No comments:

Post a Comment