slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Friday, December 22, 2017

Wizara ya Maliasili yatoa miche laki moja katika Kampeni ya Kuufanya Mji wa Dodoma kuwa Kijani

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla akimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania- TFS, Prof. Dos Santos Silayo (kushoto) kuhusu utaratibu wa kupanda mti wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kuufanya mji wa Dodoma kuwa wa Kijani iliyofanyika kwenye chanzo cha maji bonde la Makutupora, Mjini Dodoma Desemba 21, 2017.

Kupitia TFS, Waziri Kigwangalla aliahidi kutoa miche ya miti laki moja kwa manispaa ya Dodoma na miche mingine 650,000 kwa wilaya zote za Mkoa wa Dodoma.

No comments:

Post a Comment