slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Monday, November 13, 2017

DK. KIGWANGALLA AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WAWILI (UJERUMANI NA CHINA) OFISINI KWAKE MJINI DODOMA LEO KUHUSU MAENDELEO YA UHIFADHI NA UTALII NCHINI

  Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (kulia) akisalimiana na Balozi wa Ujerumani nchini, Dk. Detlef Wächter ofisini kwake mjini Dodoma leo ambapo wamejadili mambo mbalimbali ya kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na Ujerumani katika kuendeleza Uhifadhi na Utalii nchini. 
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (kulia) akizungumza na Balozi wa Ujerumani nchini, Dk. Detlef Wächter (kushoto) ofisini kwake mjini Dodoma leo ambapo wamejadili mambo mbalimbali ya kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na Ujerumani katika kuendeleza Uhifadhi na Utalii nchini. 
Picha ya pamoja ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (wa pili kulia) na Balozi wa Ujerumani nchini, Dk. Detlef Wächter (katikati) na ujumbe wake baada ya mazungumzo yaliyofanyika ofisini kwake mjini Dodoma leo ambapo wamejadili mambo mbalimbali ya kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na Ujerumani katika kuendeleza Uhifadhi na Utalii nchini.
 Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akizungumza na Balozi wa China nchini, Bi. Wang Ke ofisini kwake mjini Dodoma leo ambapo amemuomba kushirikiana na Wizara yake kuweka mkakati wa pamoja wa kuongeza idadi watalii na wawekezaji katika sekta hiyo kutoka nchini China. 
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (kulia) akipokea zawadi ya taswira la Ua la Taifa la China kutoka kwa Balozi wa nchi hiyo nchini, Bi. Wang Ke ofisini kwake mjini Dodoma leo. Amemuomba balozi huyo kushirikiana na Wizara yake kuweka mkakati wa pamoja wa kuongeza idadi watalii na wawekezaji katika sekta hiyo kutoka nchini China.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akimsikiliza Balozi wa China nchini, Bi. Wang Ke alipotembelewa na balozi huyo ofisini kwake mjini Dodoma leo ambapo amemuomba kushirikiana na Wizara yake kuweka mkakati wa pamoja wa kuongeza idadi watalii na wawekezaji katika sekta hiyo kutoka nchini China.  (Picha na Hamza Temba - Wizara ya Maliasili na Utalii).

No comments:

Post a Comment