slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Tuesday, January 24, 2017

WIZARA YA MALIASILI YAWASILISHA TAARIFA YA MAENDELEO YA SEKTA YA UTALII KWA KAMATI YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII MJINI DODOMA

Mkurugenzi wa Idara ya Utalii Wizara ya Maliasili na Utalii, Zahoro Kimwaga (wa pili kushoto) akiwasilisha taarifa ya hali ya sekta ya utalii nchini kwa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii mjini Dodoma tarehe 24 Januari, 2017.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe (wa pili kushoto), Naibu waziri, Mhandisi Ramo Makani (wa tatu kushoto), Katibu Mkuu, Meja Generali Gaudence Milani (kushoto mstari wa nyuma), Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Aloyce Nzuki (wa pili kushoto mstari wa nyuma), viongozi wengine wa Wizara na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi ya Maliasili na Utalii wakifuatilia uwasilishaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara na Taasisi zake kwa Mwaka wa fedha 2016/2017 kwa Kamati hiyo.
Kamati ya Bunge ya kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii ikipokea Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara na Taasisi zake kwa Mwaka 2016/17 mjini Dodoma. 
Wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii wakiwa na viongozi wa Wizara ya Maliasili na Utalii ( wengine hawapo pichani) wakisikiliza taarifa ya Utekelezaji iliyowasilishwa na Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro - NCAA, Dkt. Fredy Manongi tarehe 23 Januari 2017. 
 
  Katibu Mkuu, Meja Generali Gaudence Milani (kushoto), Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Aloyce Nzuki, Viongozi wengine wa Wizara hiyo na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii wakiwa kwenye kikao cha pamoja mjini Dodoma. 
Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Dr. Fredy Manongi akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji ya mamlaka hiyo kwa kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii mjini Dodoma tarehe 23 Januari 2017. (Picha na Dorina Makaya-WMU)

No comments:

Post a Comment