slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Monday, July 3, 2017

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA KATIKA KIPENGELE CHA MAUZO YA BIDHAA NJE YA NCHI KATIKA MAONESHO YA 41 YA SABA SABA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli akimkabidhi tuzo Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maj.Gen. Gaudence Milanzi, baada ya Wizara hiyo kuibuka mshindi wa kwanza katika kipengele cha Uuzaji bora wa Bidhaa Nje ya Nchi (Best Exhibitor Export Products), katika Maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa, yaliyoanza Juni 28. Kulia anayepiga makofi ni Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage. 

Tofauti na miaka mingine, mwaka huu maonyesho hayo badala ya kumalizika Julai 8, yameongezewa siku tano zaidi na kutarajiwa kumalizika Julai 13.

No comments:

Post a Comment