slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Wednesday, October 25, 2017

DK. KIGWANGALLA AFANYA ZIARA MAMLAKA YA HIFADHI YA NGORONGORO

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.  Dkt. Hamisi Kigwangalla amefanya ziara ya kikazi katika ofisi za Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro ambapo amezungumza na viongozi na watumishi wa Mamlaka hiyo. Katika ziara hiyo ametembelea pia maeneo ya hifadhi yenye mgogoro kwa ajili kuyatafutia ufumbuzi. 
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla (wa pili kulia) akipokelewa na viongozi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro alipowasili makao makuu ya hiyo leo Oktoba 25,2017

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla.

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla (kushoto)  akipata maelezo kutoka Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Dk. Fredy Manongi (wapili kulia)

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) akipata maelezo kuhusu eneo la hifadhi ya Ngorongoro kutoka kwa Naibu Mhifadhi wa Mamlaka hiyo, Assangye Bangu.

Waziri wa Maliasili na Utalii,  Dkt. Hamisi Kigwangalla akisikiliza maoni kutoka kwa viongozi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro .

Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Dk. Freddy Manongi akizungumza wakati wa kumkaribisha Waziri wa Maliasili, Dkt. Hamisi Kigwangalla aweze kuzungumza na watumishi.

No comments:

Post a Comment