slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Tuesday, October 31, 2017

JANGILI AKAMATWA KABLA YA KUFANYA UHALIFU...

 "‪Jana tumefanikiwa kumkamata Ndg. Masalu Wella Nangale wa kijiji cha Mwasengela, Meatu, akijipanga kuelekea Moru, ndani ya hifadhi ya Serengeti kwa malengo ya kuua Faru. Amekutwa na risasi 356, magazines 2, msumeno mdogo na mafuta ya kusafishia silaha! ‬

Tutaendelea kutumia mbinu za kisasa zaidi za intelijensia kudhibiti ujangili. 
Tumekusudia kukamata majangili kabla hawajafanya ujangili kuliko kukamata nyara. 

Tutaisambaratisha na kuifumua kabisa mitandao ya biashara haramu ya ujangili nchini". Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla.

No comments:

Post a Comment